Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando akiongoza mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza katika mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akizungumza katika mkutano huo.
Mwakilishi wa Taasisi ya Wakala wa Upimaji Ardhi Tanzania, Linus Kinyondo akizungumzia suala zima la ujenzi wa nyumba kwa kuzingatia mipango miji ili kutunza mazingira.
No comments:
Post a Comment